Zitto: Mkopo Ambao Serikali imeomba Benki ya Dunia ni wa Kampeni ya Kisiasa na sio Kwa Ajili ya Elimu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kablwe, amesema mkopo ambao serikali ya Tanzania inaomba Benki ya Dunia ni kwa ajili ya kisiasa.

“Elimu ya watoto wa kike ni sehemu tu ya mkopo huo wa Shs. 1.5 trilioni,” aliandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter.

Zitto ambaye ni mbunge wa Kigoma Mjini alisema katika mwaka wa Uchaguzi wa serikali iliyotapanya fedha kununua midege, inatafuta mkopo wa kujenga shule 1000.

Kiongozi huyo alisema mkopo huo ni sehemu ya kampeni.

Zitto aliandika ujumbe unaosomeka hivi”Mkopo ambao serikali ya Tanzania inaomna Benkinya Dunia ni mkopo wa kisiasa. Elimu ya watoto wa like ni sehemu tu ya mkopo huo wa Shs. 1.5 trilioni. Katika mwaka wa uchaguzi serikali iliyotapanya fedha kunumja midege, inatafuta mkopo wa kujenga shule 1000. Ni mkopo wa kampeni,”


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad