Kuhusu Mwanamuziki Gelly wa Rhymes Kulelewa na Jimama Arusha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii Gelly Wa Rhymes amefunguka na kusema yeye ni bishoo lakini ni mpambanaji na watu wasimchukulie poa, kama analelewa na mwanamke ambaye amembadilisha dini na kumuhamisha Jiji.

Gelly Wa Rhymes ameeleza hayo alipodakwa na kamera za EATV & EA Radio Digital, ambapo amesema Dar es Salaam ndipo wanaume wanaongoza kulelewa na wanawake ila sio Arusha  anapoishi kwa sasa.

"Watu waniangalie vizuri aisee mimi ni bishoo, nahangaika,  mpambanaji na sikai kizembe, halafu ule Mkoa wa Arusha watu hawaishi hivyo labda huku Dar ndiyo vijana wanalelewa, watu wa kule wamenifundisha maisha ya kukaza maisha yangu ndiyo yapo hivo" amesema Gelly Wa Rhymes.
SOMA HABARI HIZI KIRAHISI KUPITIA APP YETU YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD HAPA

Aidha ameongeza kusema watu watakuwa wanafeli endapo watamchukulia kama mtoto wa mama asiyeweza kazi.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad