Urus Yakanusha Madai ya Kuingilia Kati Kampeni za Uchaguzi Wa Marekani wa Mwaka Huu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Urusi imesema leo kuwa madai ya kitengo cha ujasusi cha Marekani kwamba nchi hiyo inaingilia kampeni za uchaguzi za mwaka 2020 na kujaribu kuongeza nafasi ya kuchaguliwa kwa mara nyengine kwa Rais Donald Trump ni uongo mtupu.

SOMA HABARI HIZI KUPITIA APP YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD > HAPA

Mtu aliye na taarifa za karibu kuhusiana na suala hilo amesema maafisa wa ujasusi wa Matrekani waliwaambia wabunge juma lililopita kwamba Urusi inaingilia kati kampeni ikiwa inalenga kutia mashaka kuaminika kwa uchaguzi huo ili kuiweka nafasi ya Trump kuchaguliwa tena kuwa juu.

Na sasa msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov amesema yote ni uongo na wana wasiwasi kwamba uvumi huo utaenea kadri uchaguzi unapokaribia.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad