Kocha wa club ya Aston Villa Amwagia SIFA Kedekede Mbwana Samatta

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kocha wa club ya Aston Villa Dean Smith amemwagia sifa na kumpongeza mshambuliaji wake wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta anayekipiga Aston Villa ya England kuwa mchezaji huyo ni mpambanaji na amekuwa akiimarika zaidi kwa haraka ndani ya mwezi mmoja.

“Amewashangaza wachezaji wetu wengi sana kutokana namna ya ubora wake alivyo, ana movement nzuri na anaelewa mchezo, anaweza kuungana na timu mapema sana pia amefunga goli lake la kwanza la Ligi Kuu anaweza kuwa asset”>>>Dean Smith
SOMA HABARI HIZI KUPITIA APP YA UDAKU SPECIAL DOWNLOAD > HAPA

Dean Smith ametoa kauli hiyo Aston Villa wakiwa wanaelekea kucheza dhidi ya Southampton katika mchezo wa EPL, Samatta akiwa anatoka kucheza dhidi ya Tottenham Hotspurs na kutoa presha iliyotoa goli la kwanza la Aston Villa kwa beki wa Tottenham kujifunga.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad