AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanaharaka Nyagali Mdude maarufu kwa jina la Mdude Chadema amesema hawawezi kufundishwa namna ya kuendesha vyama vyao vya upinzani na akina Cecil Mwambe na Frederick Sumaye.
“Akina Mwambe na Sumaye ambao walikosa uvumilivu baada ya kukatwa CCM wakahamia kwetu,” alisema Mdude katika ukurasa wake wa Twitter.
Alisema kama wao wanasema walikuwa nia ya dhati kujenga upinzani kwa nini wasianzishe chama chao badala ya kurudi CCM tamaa imewajaa.
Aliandika ujumbe huu ” Hatuwezi kufundishwa namna yankuendesha chama vyetu vyake upinzani na akina Mwambe na Sumaye ambao walikosa uvumilivu baada ya kukatwa CCM wakahamia kwetu, kama walikuwa na nia ya dhati kujenga upinzani kwa mini wasianzishe chama chao badala ya kurudi CCM? Tamaa imewajaa,” aliandika Mdude.
Hatuwezi kufundishwa namna ya kuendesha vyama vyetu vya upinzani na akina Mwambe na Sumaye ambao walikosa uvumilivu baada ya kukatwa ccm wakahamia kwetu,Kama wao wanasema walikuwa na nia ya dhati kujenga upinzani kwanini wasianzishe chama chao badala ya kurudi ccm?Tamaa imewajaa— Mdude Chadema (@ChademaMdude) February 16, 2020
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK