AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchezaji wa Rhino Rangers ya Tabora Nizar Khalfan amefiwa na mke wake (Pichani) leo mchana jijini Dar es salaam.
Taarifa iliyotolewa na Uongozi wa Rhino Rangers imeeleza kuwa Nizar amekutwa na msiba huo akiwa na timu yake jijini Tanga ambapo alitakiwa kuwemo kwenye kikosi kilichoanza dhidi ya Sahare All Stars, katika mchezo wa Ligi daraja la Kwanza.
Tunatoa Pole kwa Nizar Khalfan pamoja na ndugu jamaa na Marafiki.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK