Wakurugenzi 10 Kupelekwa Kwa JPM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri wa TAMISEMI, Seleman Jafo, amewaagiza Wakuu wa Idara za Fedha katika halmashauri 10 zilizofanya vibaya katika ukusanyaji wa mapato kujitathimini nafasi zao hadi ifikapo Juni 30 mwaka huu.


Waziri Jafo ameyasema hayo leo, Februari 9 Jijini Dodoma alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, ambapo ameagiza wajitathmini hadi Juni 30 vinginevyo nafasi zao watapewa watu wengine.

"Wakurugenzi wa halmashauri ambazo zimesuasua katika ukusanyaji mapato, majina yao nitayapeleka kwa mwenye mamlaka husika ili waangaliwe Kama wanafaa kwenye nafasi zao", amesema Mh. Jafo.

Mhe. Jafo amesema Serikali inatilia mkazo suala la ukusanyaji mapato, hivyo haitawavumilia maafisa wanaolegalega kwenye suala hilo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad