AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema amefurahi kwa rafiki yake Erick Kabendera kuwa huru japo uhuru wake umenunuliwa kwa kukiri makosa.
Zitto ambaye ni Mbunge wa Kigoma Mjini aliandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa Twitter leo.
Amesema ahadi yake kwa Erick ni kuwa wataifuta hiyo rekodi ya jinai kupitia uchunguzi huru wa kitaifa kwa watu wote walioonewa na kuporwa fedha kupitia mashtaka bandia.
Zitto aliandika ujumbe huu “Nimefurahi sana rafiki yangu @kabsjourno yupo huru. Imebidi Uhuru wa Erick ununuliwe kupitia kinachoitwa kukiri makosa. Ahadi yangu kwa Erick ni kuwa tutafuta hii rekodi ya jinai kupitia uchunguzi huru wa kitaifa kwa watu wote walioonewa na kuporwa fedha kupitia madhtaka bandia,” .
Nimefurahi sana rafiki yangu @kabsjourno yupo Huru. Imebidi Uhuru wa Erick ununuliwe kupitia kinachoitwa kukiri makosa. Ahadi yangu kwa Erick ni kuwa tutafuta hii rekodi ya jinai kupitia uchunguzi Huru wa kitaifa kwa watu wote walioonewa na kuporwa Fedha kupitia mashtaka bandia https://t.co/FLiI5mddrS— Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) February 24, 2020
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK