Zitto Asema Uhuru wa Erick Kabendera Umenunuliwa kwa Kukiri Makosa, Watafanya Uchunguzi Huru wa kitaifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema amefurahi kwa rafiki yake Erick Kabendera kuwa huru japo uhuru wake umenunuliwa kwa kukiri makosa.

Zitto ambaye ni Mbunge wa Kigoma Mjini aliandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa Twitter leo.

Amesema ahadi yake kwa Erick ni kuwa wataifuta hiyo rekodi ya jinai kupitia uchunguzi huru wa kitaifa kwa watu wote walioonewa na kuporwa fedha kupitia mashtaka bandia.

Zitto aliandika ujumbe huu “Nimefurahi sana rafiki yangu @kabsjourno yupo huru. Imebidi Uhuru wa Erick ununuliwe kupitia kinachoitwa kukiri makosa. Ahadi yangu kwa Erick ni kuwa tutafuta hii rekodi ya jinai kupitia uchunguzi huru wa kitaifa kwa watu wote walioonewa na kuporwa fedha kupitia madhtaka bandia,” .

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad