AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Uongozi wa clabu ya simba umepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha aliyewahi kuwa msemaji wake Asha Muhaji kilichotokea siku ya jana katika ospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu.
Mazishi yatafanyika leo alhamisi saa 10 jioni katika makaburi ya mwinyi mkuu magomeni mapipa
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK