AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Khamisi Juma Bega (49), bodaboda ambaye alipigwa na polisi kwa kutokaa ndani na kupelekea kifo chake, inadaiwa alikuwa ametoka hospitali kumpeleka mjamzito
-
Inadaiwa Khamisi alipigwa na maafisa wa polisi wakishinikiza kufuatwa kwa sheria ya kubaki ndani kwa kipindi hiki chenye tishio la #Covid19
Inasemekana alipigwa na hakuweza kupatiwa matibabu kwa usiku huo na alipaswa kutulia hadi kesho yake, hali iliyopelekea afariki kutokana na majeraha hayo
Kamanda wa Polisi Francis Mguli amesema watachunguza tukio hilo. Wakazi wameomba IGP awatahadharishe polisi kwenye kutumia nguvu katika kutekeleza
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK