Bado Bado Aliyeuliwa na Polisi Alikuwa Amempeleka Mjamzito Haspitalini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Khamisi Juma Bega (49), bodaboda ambaye alipigwa na polisi kwa kutokaa ndani na kupelekea kifo chake, inadaiwa alikuwa ametoka hospitali kumpeleka mjamzito
-
Inadaiwa Khamisi alipigwa na maafisa wa polisi wakishinikiza kufuatwa kwa sheria ya kubaki ndani kwa kipindi hiki chenye tishio la #Covid19

Inasemekana alipigwa na hakuweza kupatiwa matibabu kwa usiku huo na alipaswa kutulia hadi kesho yake, hali iliyopelekea afariki kutokana na majeraha hayo

Kamanda wa Polisi Francis Mguli amesema watachunguza tukio hilo. Wakazi wameomba IGP awatahadharishe polisi kwenye kutumia nguvu katika kutekeleza
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad