AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe amesema ni muhimu kuzingatia ushauri wa wataalamu na viongozi katika ugonjwa wa virusi vya Corona.
Kadhalika, amesema Corona haipaswi kupuuzwa kwani itasababisha watu kuumwa na wengine kufa.
“Pamoja na tahadhari zote tunazozichukua tatu ni za muhimu mno na zinaimbwa kote duniani,” aliandika Membe.
Membe aliandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa twitter kuwa “Tunawe mikono, tuepuke mikusanyiko na tukae majumbani mwetu,”.
Bernard Membe
Alisema kinachotakiwa ni kutekeleza maelekezo hayo na kuzingatia ushauri wa wataalamu na viongozi ” Tukipuuza tutaumwa na wengine tutakufa tusipuuze,”.
CORONA: Pamoja na tahadhari zote tunazozichukua, tatu ni za muhimu mno na zinaimbwa kote Duniani; Tunawe mikono, Tuepuke mikusanyiko na Tukae majumbani mwetu! Tutekekeze hayo na tuzingatie ushauri wa Wataalam na Viongozi wetu. Tukipuuza tutaumwa na wengine tutakufa! Tusipuuze!— Bernard K. Membe (@BenMembe) March 27, 2020
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK