AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Iringa mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa, amesema hoteli kubwa za Serena zimefungwa kutokana na ugonjwa wa virusi vya Corona.
“Hizi Serena ni hoteli kubwa zimefungwa. Hoteli moja unaweza kuwa na wafanyakazi zaidi ya 200 porini huko hakuna kabisa mtalii,” aliandika Mchungaji Msigwa katika ukurasa wake wa twitter.
Mchungaji Msigwa ni Waziri kivuli wa Maliasili na Utalii aliendelea kuandika kuwa
“@HKigwangalla liambie taiga what is up? Mr minister, don’t printed as if nothing is happening!,”
Katika tangazo lililitolewa na uongozi wa Serena hotel umeeleza kufunga hoteli zake za kitalii, Safari Lodge and camps na Hotel- Resorts kwa ajili ya kujikinga na Corona hadi Juni 15, 2020.
Hizi serena ni hotel kubwa zimefungwa— peter msigwa (@MsigwaPeter) March 27, 2020
Hotel moja inaweza kuwa na wafanyakazi zaidi ya 200
Porini huko hakuna kabisa mtalii @HKigwangalla liambie Taifa what is up ? Mr Minister, don’t printend as if nothing is happening! pic.twitter.com/Th0vjQDHcb
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kibeko, ulikwendaga shule??
ReplyDeleteSteve Nyerere anakuja chukua j.. lake.