Msigwa Asema Hoteli zote za Serena zimefungwa kwa Sababu ya CORONA...Amtupia Kijembe Waziri Kigwangalla

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mbunge wa Iringa mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa, amesema hoteli kubwa za Serena zimefungwa kutokana na ugonjwa wa virusi vya Corona.

“Hizi Serena ni hoteli kubwa zimefungwa. Hoteli moja unaweza kuwa na wafanyakazi zaidi ya 200 porini huko hakuna kabisa mtalii,” aliandika Mchungaji Msigwa katika ukurasa wake wa twitter.

Mchungaji Msigwa ni Waziri kivuli wa Maliasili na Utalii aliendelea kuandika kuwa

“@HKigwangalla liambie taiga what is up? Mr minister, don’t printed as if nothing is happening!,”

Katika tangazo lililitolewa na uongozi wa Serena hotel umeeleza kufunga hoteli zake za kitalii, Safari Lodge and camps na Hotel- Resorts kwa ajili ya kujikinga na Corona hadi Juni 15, 2020.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kibeko, ulikwendaga shule??

    Steve Nyerere anakuja chukua j.. lake.

    ReplyDelete

Top Post Ad