Bosi wa Halotel na Wenzake Mbaroni kwa Kuhatarisha Usalama wa Taifa, Hasara Kwa Serikali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya simu ya Halotel, Son Nguyen (46) pamoja amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakabiliwa na mashtaka 10 tofauti.

Miongoni mwa mashitaka yanayowakabili ni la kuisababishia hasara Serikali ya Sh 78bilioni, kwa kutengeneza bomba ambalo linapitisha mawasiliano fichwa ambayo ni hatari kwa usalama wa Taifa.

Hata hivyo Nguyen ambaye anazaidi ya miaka 10 katika kampuni hiyo hayupo peke yake katika mashitaka hayo bali yupo na na wafanyakazi watano wa Kampuni hiyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad