AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya simu ya Halotel, Son Nguyen (46) pamoja amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakabiliwa na mashtaka 10 tofauti.
Miongoni mwa mashitaka yanayowakabili ni la kuisababishia hasara Serikali ya Sh 78bilioni, kwa kutengeneza bomba ambalo linapitisha mawasiliano fichwa ambayo ni hatari kwa usalama wa Taifa.
Hata hivyo Nguyen ambaye anazaidi ya miaka 10 katika kampuni hiyo hayupo peke yake katika mashitaka hayo bali yupo na na wafanyakazi watano wa Kampuni hiyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK