Mbowe Afanya Mazungumzo na Profesa Lipumba Akiwa Karantini, Watume Ujumbe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amefanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema ambaye kwa sasa yupo karantini kufuatiwa motto wake kukutwa na virusi vya Corona.

Lipumba alizungumza na Mbowe kwa njia ya simu wakati akiendelea na mahojiano na kituo kimoja cha Televisheni, Lipumba alitoa pole kwa Mbowe na kumpongeza kwa kauli zake kwa umma ambazo zimekuwa ni chachu ya mapamabano ya kuenea kwa virusi hivyo.

“Tunamuaombea kila la heri mwanao aweze kupona tunamuombea kwa mnyezi Mungu, ni mtihani wa Mungu lakini tunashuru wanafamilia wengine hamna,” Profesa Lipumba amemweleza Mbowe.

Kwa upande wake Mbowe amemshukuru Lipumba kwa kumjulia hali na kutoa wito kwa viongozi na wasio viongozi kutoa elimu sahihi juu ya ugonjwa huo huku akisisitiza kuwa sio wa kupuuzwa
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad