AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu ya Arsenal imesema kuwa imefunga kwa muda kituo chake cha Mazoezi baada ya Kocha wao, Mikel Arteta kupata maambukizi ya virusi vya corona jana usiku
Kocha huyo kwa sasa amewekwa Karantini huku taratibu zote za Kiserikali katika kushighulikia suala hilo zikifuatwa. Klabu imesema inashughulikia pia kuwapima wengine wote waliokuwa karibu na Arteta kwa siku za karibuni
Aidha, Chelsea imesema imefunga kwa muda jengo la mazoezi la timu ya Wanaume baada ya Mchezaji wake, Callum Hudson-Odoi kugundulika kuwa na Maambukizi ya virusi vya Corona jana usiku
Chelsea imebainisha kuwa watu wote waliokuwa karibu na Hudson-Odoi kwa siku za karibuni katika timu ya Wanaume watatengwa kwa kufuata taratibu za Serikali. Watu hao ni pamoja na Wachezaji wenzake na Wafanyakazi
Klabu zote zimesema kuwa watu wote ambao hawakuwa karibu na Waathirika hao watarudi kufanya kazi katika siku za usoni
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK