AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchezo wa michuano ya Klabu Bingwa Ulaya kati ya Manchester City na Real Madrid wa hatua ya 16 Bora, uliokuwa uchezwe wiki ijayo, Jumanne Machi 17, 2020, umeahirishwa
Taarifa kutoka Man. City inasema “Uamuzi wa kuahirisha mchezo huo umefanyika kwa ushirikiano wa UEFA na kufuatia uthibitisho kuwa Wachezaji wa Madrid watakaa Karantini kwa siku 15, baada ya mchezaji kutoka timu ya mpira wa Kikapu ya Madrid kuthibitika kuwa na corona”
Aidha, imeeleza kuwa taarifa zaidi kuhusu tarehe mpya na masuala yote yanayohusu tiketi za mchezo huo uliokuwa ufanyike nyumbani kwa Man. City, katika uwanja wa Etihad, vitatolewa baadaye
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK