Mchezo Kati ya Man City na Real Madrid Wahairishwa Kisa Mchezaji Kupata Corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mchezo wa michuano ya Klabu Bingwa Ulaya kati ya Manchester City na Real Madrid wa hatua ya 16 Bora, uliokuwa uchezwe wiki ijayo, Jumanne Machi 17, 2020, umeahirishwa

Taarifa kutoka Man. City inasema “Uamuzi wa kuahirisha mchezo huo umefanyika kwa ushirikiano wa UEFA na kufuatia uthibitisho kuwa Wachezaji wa Madrid watakaa Karantini kwa siku 15, baada ya mchezaji kutoka timu ya mpira wa Kikapu ya Madrid kuthibitika kuwa na corona”

Aidha, imeeleza kuwa taarifa zaidi kuhusu tarehe mpya na masuala yote yanayohusu tiketi za mchezo huo uliokuwa ufanyike nyumbani kwa Man. City, katika uwanja wa Etihad, vitatolewa baadaye
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad