Z Anto Awa Dhahabu HAPA Mjini Agombaniwa na Wastara Sajuki na Binti Kiziwi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kumekuwa na stori ambayo inaendelea kwenye mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari kuhusu ugomvi wa video vixen Binti Kiziwi na msanii wa filamu Wastara Sajuki, juu ya kumgombania Z Anto.

Taarifa hizo zimekuja baada ya Wastara Sajuki, kumtishia kumchana na viwembe endapo ataendelea kuwasiliana Z Anto mida ya usiku, kwa sababu anamjua vizuri kuliko anavyomjua yeye.

Sasa kupitia show ya eNewz ya East Africa TV, imepiga stori na Z Anto mwenyewe ambaye amenyoosha maelezo kuhusiana na ugomvi huo.

"Sitaki kuongea sana kuhusiana na hii ishu ila Wastara ni mtu mzima na ikifikia hatua kuongea kitu ambacho kipo serious sijui kuna nini, siwezi kuwa sawa kutokana na kinachoendelea mitandaoni na pengine watakuwa na hasira zao binafsi" amesema Z Anto.

Ikumbukwe tu kipindi cha nyuma Z Anto aliwahi kuwa kwenye ndoa na Binti Kiziwi, kisha kuachana baada ya miaka mitatu.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad