Janga la DUNIA...Congo Yapata Mgonjwa Mwingine wa Corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 
Waziri wa Afya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Eteni Longondo, ametoa wito kwa raia wake kuzingatia usafi wakati wowote hii ni baada ya kuthibitisha kisa cha pili cha mtu mwenye ugonjwa wa Virusi vya Corona nchini humo.


Inadaiwa kuwa mtu huyo ni raia wa Cameroon aliyewasili nchini humo kutoka nchini Ufaransa, ambaye aliingia nchini humo, juma lililopita na alikuwa amewekwa karantini, baada ya uchunguzi aliofanyiwa katika uwanja wa ndege wa Kinshasa na kubaini kuwa ameambukizwa virusi hivyo.

Kwa sasa anapatiwa matibabu katika kituo cha zamani cha kuwatibu wagonjwa wa Ebola, Mashariki mwa Mji Mkuu wa Kinshasa.

Ikumbukwe kuwa kisa cha kwanza cha mgonjwa wa virusi vya Corona nchini humo, kilithibitishwa siku ya Jumanne na Msemaji wa Wizara ya Afya, ambapo Congo ni nchi ya 11 barani Afrika, kuthibitisha maambukizi ya ugonjwa hatari wa COVID-19.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad