Mwanamfalme Harry, Mkewe Wamjibu Trump "Pesa Kwetu Sio Tatizo"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mwanamfalme Harry na Mkewe Meghan wamesema hawana mpango wa kuiomba Marekani iwalipie ulinzi na kumtaka Trump ambaye amesema hatowalipia, aondoe wasiwasi

”Pesa kwetu sio tatizo, mipango yote ya ulinzi tukiwa Marekani imeshafanywa, hatujawahi hata kufikiria kuomba pesa kwa Trump”

Kauli hii ya Prince Harry na Mkewe inakuja kufuatia Trump kusema licha ya urafiki wake na Malkia wa Uingereza, hayupo tayari kulipia gharama za ulinzi kwa wawili hao ambao waliondoka kwenye Jumba la Kifalme na kwenda kuanza maisha mapya Canada na sasa wanataka kuhamia Marekani, Trump amewataka wajilipie ulinzi wenyewe.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad