Mchungaji Msigwa: Walioleta Taarifa za Corona ni Wanasayansi na sio Manabii wala Wachungaji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchunhaji Peter Msigwa, amesema walioleta taarifa za ugonjwa wa Corona ni wanasayansi.

“Sio manabii, mitume wala wachungaji. Kwa nini tumewaamini wanasayansi kuwa kuna ugonjwa,” alihoji Msigwa katika ukurasa wake wa Twitter.

“Lakini hatuwaamini wanapotufundisha njia za kujikinga na kuepuka na maambukizi sikiliza wataalamu alafu omba Mungu kumbuka Luke alikuwa Daktari,”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad