AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchunhaji Peter Msigwa, amesema walioleta taarifa za ugonjwa wa Corona ni wanasayansi.
“Sio manabii, mitume wala wachungaji. Kwa nini tumewaamini wanasayansi kuwa kuna ugonjwa,” alihoji Msigwa katika ukurasa wake wa Twitter.
“Lakini hatuwaamini wanapotufundisha njia za kujikinga na kuepuka na maambukizi sikiliza wataalamu alafu omba Mungu kumbuka Luke alikuwa Daktari,”
Waliotuletea taarifa ya Corona ni wanasayansi! Sio manabii, mitume wala wachungaji. Kwa nini tumewaamini wanasayansi Kuwa kuna ugonjwa, lakini hatuwaamini wanapotufundisha njia za kujikinga na kuepuka na maambukizi? Sikiliza wataalamu halafu omba Mungu. Kumbuka Luke alikuwa Dr.— peter msigwa (@MsigwaPeter) April 21, 2020
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK