Mume Wangu Hana Wivu Kwangu..Nataka Nichepuka Ajue ili Apate Wivu Tugombani....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Anaomba ushauri wako, nimeolewa na ndoa yangu ina miaka miwili sasa, shida ni mume wangu. Anafanya kazi, anahudumia familia,a nanijali kwa kila kitu, haninyanyasi lakini shida moja mume wangu hana wivu. Yaani naweza kumuaga naenda sehemu falani hata hanikatazi, nikichelewa kurudi hata hapigi simu, nikimuuliza kwanini hajali hivyo hata nikirudi usiku ananiambia kuwa mimi ni mtu mzima.

Kaka najikuta kuwa nina kisirani, ni mtu wa hasira ila mume wang hajali kabisa, kuna wakati nachelewa makusudi hata mpaka saa nane lakini nikirudi ataniuliza nilikua wapi na jibu lolote nitakalompa atakubali. Kaka nashindwa niishije na huyu mwanaume, yaani nawaonea wivu wanawake wenzangu wanavyojaliwa na waume zao.

Kuna wakati natamani hata kuchepuka ili ajue apate wivu anigombeze tugombane, yaani ni wale wanaume ambao hata nikimuudhi basi ataomba msamaha yeye akiniambia kua hataki kuniudhi hivo yaishe...yaani natamani ugomvi

Kuna wakati hata naongea na wanaume wengine lakini hajali, sio kama nachepuka nafanya makusudi ili aumie lakini yeye haumii, kaka naomba nisaidie nifanye nini?
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad