Rihanna na Jay z wachangia Bilioni 4 kwa wahanga wa Corona Virus

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ni Headlines za wakali kutokea Marekani Jay-Z na Rihanna ambapo wameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kila mmoja kuchangia kiasi cha Bilioni 2 za kitanzania kupitia taasisi zao; Shawn Carter Foundation na Clara Lionel.

Fedha jumla ya Bilioni 4 ambazo zitasaidia na kuwagusa madaktari, jamii na watu wasio na makazi kupata chakula vya  kupambana na ugonjwa wa Corona.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad