AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Suzanne Hoylaerts mwenye umri wa miaka 90 ambaye alikuwa na ugonjwa wa virusi vya Corona nchini Ubelgiji amefariki baada ya kukataa kuwekewa mashine.
Mgonjwa huyo alikuwa anawekewa mashine kwa ajili ya kumsaidia kupumua.
Suzanne aligoma kuwekewa mashine hiyo huku akitaka mashine hiyo ikawasaidie wagonjwa wingine.
Kabla ya kukutwa na umauti alidai kuwa ameishi maisha mazuri tayari wapatiwe wengine hiyo mashine.
“Nimeshaishi maisha mazuri tayari, ihifadhi kwa ajili ya wengine wenye umri mdogo kuliko mimi,” alisema awali kabla ya kufa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK