Lindi: Madiwani sita wa upinzani wahamia CCM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Madiwani Sita wa halmashauri ya wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi wamejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) kutoka vyama vya upinzani wakidai kuunga mkono Utekelezaji wa Ilani ya CCM bila ubaguzi na kusimamiwa na mkuu wa wilaya hiyo Hashimu Komba aliyeanza kazi miezi michache iliyopita na kuonyesha uwezo mkubwa wa kuwajali wananchi.

Madiwani hao waliojiunga na CCM wakitokea chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) pamoja na Chama cha Wananchi (CUF) wamebainisha kuwa wamechukua uamuzi huo bila kushawishiwa na Mtu yeyote, baada ya kuridhishwa na utendaji kazi wa Serikali ya CCM ambayo imekuwa ikitatua kero za wananchi na kutekeleza miradi ya maendeleo bila kujali maeneo yanayoongozwa na upinzani.

Trump aagiza Magavana kufungua sehemu za Ibada
Madiwani hao kutoka Kata za Naipanga na Mpiruka kupitia CHADEMA na kutoka kata za Kiegei na Namapwia kupitia CUF pamoja na wawili wa Viti maalum kupitia Chadema na Cuf, ni Omari Lingumbende, Hemedi Madongo, Catherine Kapanda, Jamali Mustafa, Esha Mdamo na Gabrieli Matuta.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad