Donald Trump Kama Magufuli...Aagiza Magavana Kufungua Sehemu za Ibada Marekani..

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rais wa Marekani, Donald Trump amewataka Magavana nchini humo kufungua makanisa, misikiti na masinagogi, kwa kusema ni huduma muhimu.

Akitoa agizo hilo amewataka Magavana kuchukua uamuzi sahihi na kuruhusu sehemu za ibada kufunguliwa mara moja kwani Marekani inahitaji maombi zaidi.

Amesema baadhi ya Magavana wamefungua maduka ya vilevi na kliniki za kutoa mimba lakini wameacha sehemu za ibada, jambo ambalo amedai sio sahihi hivyo anasahihisha kosa hilo kwa kufanya ibada kuwa huduma muhimu.

Hata hivyo, kauli yake imeacha sintofahamu kwakuwa Serikali haina mamlaka ya kikatiba kuamuru majimbo binafsi kufungua biashara, makanisa au Shule.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad