AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii na Mtangazaji wa Cloud Plus Mwijaku ametoa maoni yake kuhusu CEO wa Clouds media Joseph kusaga kuwataka Watangazaji wa kipindi cha Leo tena kucheza wimbo wowote wa Diamondplatnumz na Mwijaku kusema kwamba huo ndio Utakuwa mwanzo wa Diamond Platnumz kuanza kushinda tuzo.
Mwijaku ameongeza kuwa Diamond Platnumz kutokushinda tuzo za kimataifa ni kwa sababu nyimbo zake ziliachwa kuchezwa Clouds media.
Pia kwa Upande wa Lilommy alishinda tuzo kwa sababu baadhi ya Watangazaji wa Clouds walianza kumtaja kama B Dozen na wengine.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK