Naibu Waziri Akanusha Kupata Corona ‘Tupuuze Taarifa Zinazosambazwa, Niko Mzima’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mei 11, 2020 Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Faustine Ndugulile ambae leo amekanusha taarifa zilizokuwa zikienea kuhusu kupata Corona Virus (Covid-19).

“Tupuuze taarifa za uzushi zinazosambazwa kuhusu afya yangu, niko mzima kabisa na ninaendelea na majukumu yangu, pole nyingi kwa walioguswa na taarifa za uzushi”-Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad