AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mei 11, 2020 Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Faustine Ndugulile ambae leo amekanusha taarifa zilizokuwa zikienea kuhusu kupata Corona Virus (Covid-19).
“Tupuuze taarifa za uzushi zinazosambazwa kuhusu afya yangu, niko mzima kabisa na ninaendelea na majukumu yangu, pole nyingi kwa walioguswa na taarifa za uzushi”-Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK