Sabby Angel "Mapenzi Yameniponza"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MUIGIZAJImahili wa Bongo Muvi, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amefunguka kuwa mapenzi ya ulaghai yamempotezea dira ya maisha yake.

Akizungumza na Amani alisema, katika maisha yake ya kimapenzi alikutana na wanaume wengi ambao hawakuwa na mapenzi ya ukweli bali walipanga kumtumia na kumuacha.

“Unajua wanaume ndiyo mara nyingi huchangia kuharibu maisha ya wanamke, kama mimi nilikutana na wanaume wengi lakini wote hawakuwa sahihi kwangu.

“Kuna wengine walikuja na gia ya ndoa lakini baada ya muda mfupi waliniacha njia panda,” alisema Sabby Angel

Stori: Imelda Mtema
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad