AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wizara ya Afya Uganda imesema kuna ongezeko la wagonjwa wapya 21 wa corona na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 160 nchini humo kutoka 139. “wagonjwa wapya wote ni Madereva wa Malori, kati ya hawa 21, kuna Wakenya 8, Watanzania 7, Waganda 5 na Raia mmoja wa Sudan Kusini”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK