UGANDA: Ongezeko la Wagonjwa Wapya 21 wa Corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wizara ya Afya Uganda imesema kuna ongezeko la wagonjwa wapya 21 wa corona na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 160 nchini humo kutoka 139. “wagonjwa wapya wote ni Madereva wa Malori, kati ya hawa 21, kuna Wakenya 8, Watanzania 7, Waganda 5 na Raia mmoja wa Sudan Kusini”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad