AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
RC amuweka rumande saa 24 mhandisi wa maji | MtanzaniaMahakama kuu nchini kenya imeiamaru serikali ya nchi hiyo kumlipa fidia ya Tsh 100 bwana Athony Murini baada ya kukamatwa kimakosa na kuwekwa rumande kwa zaidia ya miaka miwili
Anthony Murimi alikamatwa mwaka 2015 kwa madai ya wizi wa kimabavu ambapo alikaa rumande kwa miezi 24 kabla ya kesi hiyo kutupiliwa mbali baada ya kukosekana kwa ushahidi
Amelipwa kiasi cha KSh. Milioni 4.5 kama fidia na nyongeza nyingine ya KSh. 500,000 baada ya kukamatwa na kukaa rumande kimakosa
Jaji wa Mahakama Kuu, James Makau amesema Ofisi ya DPP ilikiuka haki ya Anthony Murimi Waigwe kwa kumshtaki kwa kosa la wizi wa kimabavu bila ushahidi wowote
Jaji Makau aligundua shtaka hilo halikuwa na uzito wowote kwani mshukiwa hakupatikana na bidhaa zozote za wizi kulingana na ripoti ya kituo cha habari cha Citizen TV hivyo alidhulumiwa
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK