AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwenye XXL Clouds FM leo, Nenga amesema wimbo wa BUGANA ndio uliwafanya warudiane
"Bugana ndio ilitufanya turudiane, baada ya kutoka kwenye ile Interview ya Millardayo tulipata comment nyingi sana zikitusifia na kusema tunaendana, ilipelekea hadi kuvunja uhusiano wangu niliokuwa nao. Nikawa single tu. Baadaye tulianza kuwa karibu sana na Nandy na tuliyapitia mapungufu yetu ya awali na hatimaye kuwa pamoja tena." amezungumza Nenga.
Mwezi uliopita Billnass alimvisha Nandy pete ya uchumba na kuchochea kuni za penzi lao.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK