Billnass Atoa SIRI Kubwa ya Kumrudia Mwimbaji Nandy "Bugana na Interview ya Millard Ayo ilifanya Jambo"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Billnass anaeleza kwamba penzi lake na Nandy lilivunjika kutokana na kuchukuliana poa kwa sababu yakuzoeana sana, pia utoto. Lakini BUGANA ilirudisha penzi hilo kwa kasi.

Kwenye XXL Clouds FM leo, Nenga amesema wimbo wa BUGANA ndio uliwafanya warudiane

"Bugana ndio ilitufanya turudiane, baada ya kutoka kwenye ile Interview ya Millardayo tulipata comment nyingi sana zikitusifia na kusema tunaendana, ilipelekea hadi kuvunja uhusiano wangu niliokuwa nao. Nikawa single tu. Baadaye tulianza kuwa karibu sana na Nandy na tuliyapitia mapungufu yetu ya awali na hatimaye kuwa pamoja tena." amezungumza Nenga.

Mwezi uliopita Billnass alimvisha Nandy pete ya uchumba na kuchochea kuni za penzi lao.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad