Habari Njema Kwa Mashabiki wa MPIRA Bongo...Mashabiki wa Soka Waruhusiwa Kuhudhuria Viwanjani...ila Kwa Masharti Haya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Serikali imesema katika ligi za soka na michezo mingine mashabiki waruhusiwe kuingia viwanjani kwa utaratibu wa kawaida. Mchezo utakaotathminiwa kuwa na mashabiki wengi, waruhusiwe kuingia na wasizidi nusu ya uwezo wa uwanja

Imeruhusu Ligi za soka ambazo Kanuni zinaruhusu kucheza nyumbani na ugenini kuendelea kuchezwa kwa mtindo wa nyumbani na ugenini badala ya kutumia kituo kimoja ila mwongoza wa Afya uzingatiwe katika kusafiri, kukaa kambini na kwenye mazoezi

Aidha, Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limetakiwa kuzingatia mwongozo wa Afya michezoni, liendelee kuratibu utekelezaji wa maelekezo ikiwemo kufanya tathmini na kutoa maelezo mahsusi juu ya namna ya kurejesha michezo
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad