AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Serikali imesema katika ligi za soka na michezo mingine mashabiki waruhusiwe kuingia viwanjani kwa utaratibu wa kawaida. Mchezo utakaotathminiwa kuwa na mashabiki wengi, waruhusiwe kuingia na wasizidi nusu ya uwezo wa uwanja
Imeruhusu Ligi za soka ambazo Kanuni zinaruhusu kucheza nyumbani na ugenini kuendelea kuchezwa kwa mtindo wa nyumbani na ugenini badala ya kutumia kituo kimoja ila mwongoza wa Afya uzingatiwe katika kusafiri, kukaa kambini na kwenye mazoezi
Aidha, Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limetakiwa kuzingatia mwongozo wa Afya michezoni, liendelee kuratibu utekelezaji wa maelekezo ikiwemo kufanya tathmini na kutoa maelezo mahsusi juu ya namna ya kurejesha michezo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK