AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hili ni moja ya Matukio yanayozungumziwa zaidi Mitandaoni na kuchagiza hoja ya Ubaguzi wa rangi unaoendelea nchini Marekani kwasasa
Huyu ni Sebastian Arzadon , Aliyekamatwa juzi kwa kesi ya Mauaji ya watu wawili huko Lawrenceburg nchini Marekani. Licha ya kuwa ni muuaji , Sebastian alikamatwa vizuri na polisi ikiwemo kumpatia maji ya kunywa pamoja na kumsafisha majeraha yake kabla ya kumpeleka kituoni
Hali ni tofauti kwa Wamarekani weusi , ambao wengi wao huteswa na polisi ikiwemo kupigwa risasi , kwa makosa yasiyo na uzito , na polisi wanaofanya hivyo kutochukuliwa hatua yoyote
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK