AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Tale ninatamani niruke kutoka huku Mbeya,,yaani nimejisikia maumivu ya kupitiliza!!
Majuzi uliniambia Haji huwezi kumuona mgonjwa yupo ICU na ukaniambia nipo kwa @sallam_sk ,watoto wananiulizia mama yao Kila wakati, leo mama yao amekwenda, shemeji yetu na jirani yangu umeondoka ukiwa kijana,umeacha watoto wazuri na umemuachia ndugu yetu ukiwa mkuu!!ðŸ˜ðŸ˜
Hakuna maneno yanayotosha zaidi ya kusema Pole @babutale ,Poleni wote mlioguswa na Insha'Allah Mola wetu atawapa subira na atamjaalia Pepo ya firdaus shemeji yetu Shamsa" Haji Manara
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK