AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nilitaka kujua ikiwa unafanya mapenzi na binti aliye chini ya umri wa miaka 18 kwa hiyari yake na tayari alishazaa huko nyuma kuwa ni kosa kisheria au La, na kama ni kosa adhabu ni ipi?. Pia kama si kosa je hawa mabinti baada ya kuzaa chini ya miaka 18 serikali imewaachia uhuru kuendelea na mambo ya kiutu uzima kama kufanya ngono bila kufuatiliwa na sheria ya ubakaji.
Karibuni Wadau Wenye Uelewa wa Sheria
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK