AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa msanii wa BongoFleva na sasa anaimba Kaswida, Suma Lee ambaye ni mwanafamilia wa Babu Tale wametangaza taaarifa za awali za msiba wa mke wa Babu Tale.
Kwa mujibu wa taarifa aliyoitoa amesema msiba utakuwa Mikocheni jijini Dar es Salaam na mazishi yatafanyika mkoani Morogoro. “INNAA LILLAHI WA INNAA ILAYHI RAAJIUUN
BI SHAMSA BINT KOMBO AMEFARIKI
MSIBA UPO MIKOCHENI KUZIKA TUTAZIKIA MOROGORO
IKHLAS 11 NA SWALA ZA MTUME KUMI ZIMFIKIE MAREHEM NA JAMAA ZAKE
WALIOTANGULIE PIA NA SIE NA NDUGU ZETU NA MASHEIKH WOTE”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK