Mwanamke Mwingine Ajitosa Kuchukua Fomu ya Kugombea Urais Zanzibar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wakati Pazia la Uchukuaji wa fomu likiwa linakwenda ukingoni Mwanamke Mwingine ambaye anajulikana kwa jina la Husna Attai Masaoud amekuwa mgombea wa 25 kujitokeza kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM.

Husna Attai Masoud kwa siku ya leo amekuwa amekuwa mgombea wa mwanzo kufungua pazia hilo la kuchukua fomu huku baadhi ya wagombea wakiwa tayari wameshanza kurejesha fomu hizo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad