AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tuzo kubwa za muziki nchini Uganda , Hipipo Music Awards (Hall of Fame) , zimefanyika siku ya Jana huko Kampala na Kushuhudia wasanii tokea Lebo ya WCB , Diamond Platnumz pamoja na Mbosso wakiiwakilisha vyema Tanzania kwa Kuondoka na jumla ya tuzo tatu (3)
Katika tuzo hizo ambazo mwaka huu zimefanyika bila sherehe kutokana na Janga la Corona , Diamondplatnumz ameondoka na tuzo mbili ambazo ni Wimbo bora wa Afrika Mashariki (THE ONE) na Msanii Bora wa Tanzania. Huku Mbosso_Mshedede akishinda tuzo ya Africa Fans Favorite Fresh Talent (Msanii mpya , Kipenzi cha Mashabiki Barani Afrika)
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK