AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mechi ya kirafiki kati ya Yanga na KMC Uwanja wa Uhuru dakika 90 zimekamilika kwa Yanga kukubali kichapo cha mabao 3-0.
Mabao ya KMC yalifungwa na Sadallah Lipangile dakika ya 31, bao la pili lilipachikwa na Charlse Ilanfya dakika ya 45 na bao la tatu lilifungwa na Hassan Kabunda dakika ya 65 kwa mpira wa adhabu.
Mashabiki wamejitokeza kwa wingi kushuhudia mpambano huu wenye burudani za kutosha.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK