AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva @diamondplatnumz amesema kuwa likija katika suala la Performance Tanzania sasa hivi ndio nambari moja ila zamani wasanii kutoka Nigeria walitesa sana.
Akiongea hayo amewayolea mfano wasanii kama P SQUARE na kusema walikuwa ndio watu wanawaangalia katika performance kuwa ndio walikuwa wanaongoza lakini siku za hivi karibuni Tanzania ikmekuwa kinara jukwaani.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK