AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt Bashiru Ally amesema chama chake hakitishwi na kitendo cha mwanasiasa Maalim Seif Hamad kuchukua fomu ya kugombea urais wa Zanzibar kwa mara ya tano kwani ni chama chake kipya (ACT-Wazalendo) hakina mtandao.
Akizungumza kwenye mahojiano maalum na kituo cha televisheni cha Utv Dkt Bashiru amesema Maalim Seif ni mwanasiasa mzoefu wa kushindwa kwenye uchaguzi hivyo CCM haitishwi na kugombea kwake.
“Maalim Seif yeye ni mzoefu wa kushindwa lakini zamu hii ni mgeni katika chama chake kwa hiyo leo hii tunashindana na mzoefu wa kushindwa na mgeni katika chama ambacho hakina mtandao” amesema Dkt Bashiru.
Ikumbukwe kuwa Maalim Seif atagombea urais kwa mara ya sita kwa upande wa Zanzibar na mara zote alizogombea ameshindwa kunyakua kiti hicho
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK