AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema, amesema amesoma kwa makini waraka wa Sheikh Issa Ponda hapaswi kuwekwa maabusu.
“Hapaswi kuwekwa mahabusu isipokuwa ufafanuzi wa mambo yaliyo andikwa, ameongea vitu vingi muhimu na dhahiri haswa kwa wakati huu,” aliandika Lema katika ukurasa wake wa twitter.
“Haki haiwezi fungwa pingu, mwachieni huru Sheikh Ponda Issa,” aliandika Lema.
Nimesoma kwa makini waraka wa Sheikh Issa Ponda.Hapaswi kuwekwa mahabusu isipokuwa ufafanuzi wa mambo yalio andikwa , ameongea vitu vingi muhimu na dhahiri haswa kwa wakati huu.Haki haiwezi fungwa pingu, mwachieni huru Sheikh Ponda Issa.— Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) July 12, 2020
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK