Godbless Lema "Nimesoma Waraka wa Sheikh Ponda Hatakiwi Kuwekwa Mahabusu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema,  amesema amesoma kwa makini waraka wa Sheikh Issa Ponda hapaswi kuwekwa maabusu.

“Hapaswi kuwekwa mahabusu isipokuwa ufafanuzi wa mambo yaliyo andikwa, ameongea vitu vingi muhimu na dhahiri haswa kwa wakati huu,” aliandika Lema katika ukurasa wake wa twitter.

“Haki haiwezi fungwa pingu, mwachieni huru Sheikh Ponda Issa,” aliandika Lema.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad