AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
SASA ni dhahiri kuwa Bernard Kamilius Membe, waziri wa zamani wa mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa nchini Tanzania, yuko mbioni kujiunga na ACT – Wazalendo.
Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa na baadhi ya viongozi wandamizi wa ACT- Wazalendo zinasema, majadiliano kati ya mwanasiasa huyo na viongozi hao juu ya kujiunga kwake na chama hicho, tayari yamekamilika
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK