Mabasi Matatu ya Abood Yagongana Eneo la Bwawani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Basi 3 za kampuni ya ABOOD zinazofanya Safari zake kutoka mikoa ya morogoro , zimegonganga zenyewe kwa kile kinachoelezwa kuwa ni madereva wa mabasi hayo kushindana kwa 'speed' barabarani.

Ajali hiyo imetokea maeneo ya Bwawani , na bado hakuna taarifa rasmi juu ya majeruhi au vifo vyovyote.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad