AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Basi 3 za kampuni ya ABOOD zinazofanya Safari zake kutoka mikoa ya morogoro , zimegonganga zenyewe kwa kile kinachoelezwa kuwa ni madereva wa mabasi hayo kushindana kwa 'speed' barabarani.
Ajali hiyo imetokea maeneo ya Bwawani , na bado hakuna taarifa rasmi juu ya majeruhi au vifo vyovyote.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK