AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zindzi Mandela, mwana wa rais wa zamani wa Afrika Nelson Mandela na Winnie Madikizela - Mandela, amefariki kulingana na chombo cha habari cha taifa hilo SABC.
Zindzi amefariki mjini Johannesburg mapema Jumatatu akiwa na umri wa miaka 59.
Kifo chake kimethibitishwa na chanzo kimoja cha familia, kimesema chombo cha habari cha SABC, Chanzo cha kifo chake bado hakijatajwa
Alikuwa balozi wa Afrika Kusini nchini Denmark. Amewaacha nyuma watoto wanne na mumewe
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK