AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Miaka ya nyuma nyimbo zilikuwa zikitoa ujumbe wa mapenzi (zilikuwa zikiitwa nyimbo za mapenzi) kwa mfano:
TID ft Jay Dee - Understanding
TID - Asha
Jaydee ft Matonya - Anita
TID - Zeze
Dully Sykes - Hunifahamu
TID - Nyota Yangu
Jaydee ft Blue - Wangu
PNC ft Mlue - Mbona
Ray C - Unaifuata Nini
Q chief - Uhali Gani n.k
Sijui nini kimetokea sasa hivi wasanii wamekazana kuimba kuhusu ngono in such a way it is too much .sijui kama wanajua kwamba kuna kizazi kinawaangalia na kinawaiga yaan sasa hivi ni mwendo wa "kusafisha mtaro" mara utasikia "Tango" mara sijui "Uno" mara hujakaa vizuri "Tekenya".
Baadhi ya hayo masotojo
Maua sama - Niteke
Rayvanyy ft Lavalava - Tekenya
Diamond - Jeje
Nandy - Na Nusu
Dimpoz ft nandy - Kata
Harmonize - Uno
Diamond - Gere
Na nyingine nyingi mnaweza mkaongezea.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK