AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Ni ujasiri mkubwa kwa mtu mwenye jina kusimama na kusema, sababu wengi tunaona ni aibu kutambulika kama tunapigwa, na wanawake wengi hawasemi kwa sababu ukisema watu wanaanza kukuhukumu kwamba imekuwaje mpaka mume wako akupige" - Getrude Dyabene @humanrightstzKwa mujibu wa taarifa tuliyoitoa kuna zaidi ya kesi elfu 80 za matukio ya ukatili ambazo zimeripotiwa na matukio kama ya Shilole hayakuwepo kwa sababu hakusema na ni matukio yanayofanyika ndani" - Wakili Getrude Dyabene, Mkuu wa Dawati la Jinsia @humanrightstz
Jamii imemuweka mwanamke ana wajibu mkubwa wa kupigania ndoa au mahusiano yasimame, hivyo kuendelea kusimamia imani hiyo ndiyo imefanya wanaume waamini wana mamlaka ya kufanya chochote kwa mwanamke" - Getrude Dyabene, Mkuu wa Dawati la Jinsia @humanrightstz
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK