Ali Kiba anachokera hatumii nguvu nyingi kama wengine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Huyu ni the gifted ALIKIBA mashabiki zake wengi wanamuita "King wa bongo fleva" nimeanza kumsikiliza siku nyingi since 2007 ndo nilipata fursa ya kumsikiliza kwa mara ya kwanza kwenye nyimbo yake ya Cinderella leo


Ni 2021 nasikiliza recent release yake inaitwa "Ndombolo ". Aisee nasema ukweli huyu mwamba ni zawadi acha tuenjoi mziki mzuri, najua wapo wanaomchukia lakini naamini wengi ni masuala personal ambayo hayawezi kuangazia kipaji cha kuimba mziki.


Sitaki kuamini mtu yeyote mwenye akili timamu anayependa muziki akanambia hapendi uimbaji wa uyu mwamba, huyo atakua mchawi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad