DAWASA Yatangaza Ukosefu wa Maji Siku 2, Dar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawatangazia wateja na wananchi wa Bagamoyo hadi Kigamboni kuwa kutakua na ukosefu wa huduma ya maji kuanzia tarehe 17/6/2021 hadi 18/6/2021.

 

Sababu: Marekebisho madogo katika mfumo wa mtambo wa maji wa Ruvu Chini

Maeneo yatakayoathirika
Mji wa Bagamoyo, Vijiji vya Zinga, Kerege, Mapinga, Bunju, Boko, Mivumoni, Kawe, Tegeta, Salasala, Jangwani, Kunduchi, Mbezi Beach, Mlalakuwa, Mwenge, Mikocheni, Msasani, Sinza, Kijitonyama, Oysterbay, Magomen, Upanga, Kariakoo, Katikati ya jiji, Ubungo Maziwa, Kigogo, Mburahati, Hospitali ya Rufaa Muhimbili, Kigamboni Navy na Ferry

 

Tafadhali hifadhi maji ya kutumia katika kipindi hicho ili kupunguza usumbufu. DAWASA inaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.

 

Kwa taarifa zaidi, wasiliana nasi, kupitia kituo cha huduma kwa wateja 0800110064 (bure) au 
0735 202121(WhatsApp tu)

Imetolewa na 
Kitengo cha Mawasiliano na Jamii


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad