Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro Atoa Onyo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amesema kamwe vyombo vya ulinzi na usalama likiwemo Jeshi la Polisi havitatoa mwanya kwa makundi ya watu au mtu kuweza kuvuruga hali ya amani na usalama sambamba na kutekeleza vitendo vya kihalifu na mauaji.

IGP Sirro amesema hayo leo Moshi mkoani Kilimanjaro wakati akizungumza na Wenyeviti wa serikali za mitaa, Watendaji Kata pamoja na viongozi wa vikundi vya ulinzi shirikishi ambapo amewataka kutambua wajibu wao na kuchukua hatua kwa wanaovunja sheria.

Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Amani Mkoa wa Kilimanjaro Askofu Jones Mola, ameihasa jamii kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi kwa kutoa taarifa sahihi za uhalifu hatua ambayo itawezesha kukamatwa kwa wanaojihusisha na vitendo hivyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad